Rais wa Halmashauri Kuu ya Umoja wa Ulaya, Ursula von der Leyen, ametahadharisha kuwa umoja huo uko tayari kuchukua hatua iwapo rais wa Marekani ataendeleza mzozo uliopo kuhusu Greenland na ushuru wa bidhaa. Je, uthabiti wa Ulaya utatosha kubadili msimamo wa Washington?