You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Kivuli cha Ukoloni wa Ujerumani
Matangazo
Masuala ya Jamii
Ruka sehemu inayofuata Ripoti na Uchambuzi
Ripoti na Uchambuzi
Washawishi wa mitandaoni wabadili mwelekeo wa Ramadhani?
Washawishi wa mitandaoni wabadili mwelekeo wa Ramadhani?
Kumekuwepo hofu pia katika Mashariki ya Kati kwamba Ramadhani inaelekea pia kuwa ya kibiashara kupita kiasi.
Mahakama Uganda yakataa rufaa ya usajili wa kundi la LGBTQ
Mahakama Uganda yakataa rufaa ya usajili wa kundi la LGBTQ
Mahakama ya rufaa ya Uganda ilisema usajili wa kundi la SMUG ni kinyume cha maslahi ya umma na sera ya taifa.
Ardhi inayodaiwa kumilikiwa na Ruto yaibua mzozo
Ardhi inayodaiwa kumilikiwa na Ruto yaibua mzozo
Mbunge wa Naivasha Jayne Kihara amemtambulisha Rais William Ruto kama mmiliki halali wa ardhi hiyo ya Nadabibi.
UN: Vifo vya watoto vimepungua, athari bado ipo
UN: Vifo vya watoto vimepungua, athari bado ipo
Idadi ya watoto walioaga dunia kabla ya umri wa miaka mitano ilipungua, 2022.
Siku ya kwanza ya Ramadhani kwa mataifa kadhaa duniani
Siku ya kwanza ya Ramadhani kwa mataifa kadhaa duniani
Sehemu ya waumini wa dini ya Kiislamu leo yaanza Ramadhani
UN yataka Sudan kusitisha uhasama wakati wa Ramadhan
UN yataka Sudan kusitisha uhasama wakati wa Ramadhan
Watu milioni 8.3 wameyakimbia makaazi yao kutokana na mapigano kati ya vikosi vya serikali na waasi wa RSF.
Onesha zaidi
Ruka sehemu inayofuata Unaweza pia kuvutiwa na
Unaweza pia kuvutiwa na
Ulaji wa chakula usiofaa chanzo cha matatizo ya afya
Ulaji wa chakula usiofaa chanzo cha matatizo ya afya
Profesa Janabi wa Muhimbili Tanzania anasema watu hawajakatazwa kula ispokuwa wale kwa mpangilio ili kutunza afya.
Kumbukumbu ya miaka 124 ya kunyongwa kwa Mangi Meli
Kumbukumbu ya miaka 124 ya kunyongwa kwa Mangi Meli
Jamii ya kabila la Wachaga imefanya kumbukumbu ya maadhimisho ya kunyongwa kwa kiongozi wa kimila mnamo mwaka 1900.
Je umeshawahi kuwa kwenye mahusiano na mtu aliyekuzidi umri?
Je umeshawahi kuwa kwenye mahusiano na mtu aliyekuzidi umri?
Kuna mitazamo tofauti juu ya vijana wanaojihusisha na uhusiano wa kimapenzi na watu waliowazidi umri. Lakini vipi mahusiano hayo yanapogeuka kuwa ya kusaka maslahi? Suleiman Mwiru anakueleza zaidi katika Makala hii.
Ruka sehemu inayofuata Mtazamo wa kina
Mtazamo wa kina
Msichana Jasiri
Kila msichana ana nafasi sawa kuwa jasiri - Msichana Jasiri!
Msichana Jasiri yamuangazia Naishooki Gideon, mhamasishaji
Msichana Jasiri yamuangazia Naishooki Gideon, mhamasishaji
Ongezeko la ukatili wa kijinsia ulimsukuma kuwa mhamasishaji na muelimishaji wa vijana katika jamii. Mtangazaji wetu chipukizi Mitchelle Ceaser anaangazia juhudi zake Naishooki Gideon kwenye vidio yetu ya Msichana Jasiri
Mary Angel: Sanaa na muziki nyenzo za elimu ya afya ya akili
Mary Angel: Sanaa na muziki nyenzo za elimu ya afya ya akili
Sanaa ni nyezo ambayo hutumika katika kufikisha ujumbe kwa hadhira katika njia tofauti ikiwemo muziki, uchoraji na hata ufinyanzi na katika matumizi haya hapa ndipo anajitokeza msichana ambaye anaamua kuitumia sanaa ya muziki pamopja na uchoraji katika kuelimisha juu ya afya ya akili je nikwanini aliamua kutumia sanaa katika kuelimisha na elezea hisia binafsi? Jua mengi kupitia Msichana Jasiri.
Msichana Jasiri: Watetezi wachanga wa haki za binadamu
Msichana Jasiri: Watetezi wachanga wa haki za binadamu
Adeline Adelhard na Adela Adelhard ni dada pacha. Kando na kufanana kwa muonekano pia wanafanana kwenye mitazamo na maono yao. Si ajabu katika umri wa miaka 13, tayari wanatetea haki za watoto nchini Tanzania. Ndio wanatupambia makala ya Msichana Jasiri leo wakiwa Dar es Salaam. Mwenyeji wao ni mtangazaji chipukizi Mitchelle Ceaser
Gundua zaidi
Matangazo
Ruka sehemu inayofuata Yenye kuangaziwa
Yenye kuangaziwa
Watoto wengi duniani hawana kinga dhidi ya ugonjwa wa surua
Kufikia mwisho wa 2024, zaidi ya nusu ya nchi zote takriban 105 zitakuwa katika hatari ya mripuko wa ugonjwa wa Surua.
Idadi ya wanaoacha shule yaongezeka Ujerumani
Mwanzoni mwa mwaka 2024, karibu watu milioni 4.8 ambao wanaweza kufanya kazi walipata marupurupu ya kukosa na ajira.
Wakimbizi wa Sudan wakabiliwa na hali mbaya, Sudan Kusini
Tangu kuanza kwa mzozo nchini Sudan karibu watu milioni 8, nusu yao wakiwa ni watoto wamelikimbia taifa hilo.
Ruka sehemu inayofuata Masuala maalumu na matukio
Masuala maalumu na matukio
DW Kiswahili inapatikana kupitia mtandao wa Instagram
Jielimishe zaidi
Ruka sehemu inayofuata Safari, maisha na zaidi
Safari, maisha na zaidi
Madhara ya kiafya kwa madereva wa bodaboda
Makala ya afya yako Deo Kaji Makomba kutoka makao makuu ya Tanzania, Dodoma, anaangazia madhara ya kiafya wanayoweza kuyapata madereva wa pikipiki maarufu kama boda boda ambao hujishughulisha na shughuli za usafirishaji abiria katika maeneo mbalimbali nchini humo.
Usiweke simu yako kwenye mchele mkavu
Katika Sema Uvume wiki hii Suleman Mwiru anatizama tahadhari iliyotolewa na kampuni ya Apple juu ya tabia ya kuziweka simu kwenye mchele mkavu pindi zinapodondoka kwenye maji, badala yake fanya yafuatayo.
Mastaa wageuka ombaomba mitandaoni?
Ni jambo la kawaida kuona ujumbe kwenye mitandao ya kijamii kutoka kwa mastaa wakiomba msaada wa kifedha kutoka kwa mashabiki wao na wafuasi wao. Iwe ni kwa ajili ya kulipa bili za matibabu, kulipa kodi za nyumba au hata kununua kitu cha thamani. Bruce Amani anaimulika mada hii katika Vijana mchakamchaka.
Matangazo