Ujumbe wa baraza la usalama la umoja wa mataifa wazuru Kongo
16 Aprili 2010Matangazo
Ujumbe wa baraza la usalama la umoja wa mataifa unaoongozwa na balozi wa ufaransa kwenye umoja huo, Gérard Araud kesho unatarajiwa kuwasili Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo kwa ziara ya siku mbili ili kujadiliana na viongozi wa Kongo kuhusu muda wa kikosi cha MONUC kuendelea kubaki nchini humo na taratibu za kuondoka kwake. Kongo tayari imesema kikosi cha MONUC lazima kiondoke katika kipindi cha mwaka mmoja.
Mwandishi wetu wa Kinshasa, Salehe Mwanamilongo ametutumia taarifa ifuatayo:
Insert:
Mtayarishaji: Salehe Mwanamilongo
Mpitiaji: Grace Patricia Kabogo
Mhariri: Sekione Kitojo