1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Hussein Mwinyi

Hussein Ali Mwinyi ni mwanasiasa wa Tanzania na rais wa nane wa Zanzibar. Alikuwa mbunge wa jimbo la Kwahani tangu 2005. Ni waziri wa zamani wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa. Alichaguliwa 2020 kuwa rais wa Zanzibar.

Ruka sehemu inayofuata Ripoti na Uchambuzi

Ripoti na Uchambuzi

Onesha zaidi