Pendekezo la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu amani Mashariki mwa Kongo
17 Septemba 2007Matangazo
Wakati huo huo serikali ya Kongo inayashutumu majeshi na makundi ya wapiganaji kutoka Rwanda kwa kuhusika na ukosefu wa usalama mashariki mwa nchi hiyo.
Mwandishi wetu Saleh Mwanamilongo na taarifa zaidi kutoka Kinshasa.