Mkutano wa Maziwa Makuu
28 Februari 2007Matangazo
Wabunge hao wamependekeza kuweko na utekelezaji uliotiwa saini jijini Nairobi na viongozi wakuu wa nchi zao Desemba mwaka jana kwa ajili ya amani, usalama na maendeleo ya kanda ya maziwa makuu.
Ripoti kamili na mwandishi wetu Saleh Mwanamilongo kutoka Kinshasa.