1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Gaza

Ukanda wa Gaza ni eneo la pwani la Palestina linalokumbwa na migogoro ya mara kwa mara kati ya vuguvugu linalotawala la Hamas na jeshi la Israel. Gaza inaitegemea Israel kwa huduma za umeme, maji na mawasiliano.