Gauck akataa kugombea muhula wa piliTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoOumilkheir Hamidou21.06.201621 Juni 2016Tangazo la Rais wa Ujerumani, Joachim Gauck, kusema kuwa ataiongoza nchi kwa muhula mmoja tu, limetoa changamoto kwa vyama vya kisiasa kutafuta wagombea mapema. Sura ya Ujerumani inaagazia uamuzi wa Gauck na watu wanaoweza kuchukua nafasi yake.https://p.dw.com/p/1JAWJMatangazo