Tanzania: Sakata la Dowans
29 Septemba 2011Matangazo
Kufuatia uamuzi huo Shirika la umeme TanzaniaTanesco sasa linatakiwa iilipe Dowans kiasi cha Sh111 bilioni, badala ya Shilingi 94 bilioni za awali ikiwa ni pamoja na riba ya asilimia 7.5.
Aboubakary Liongo alizungumza na Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Mashirika ya Umma, Zitto Kabwe, amesema hukumu hiyo ni matokeo ya wanasiasa kutofuata ushauri wa kitaalam na kuweka mbele maslahi ya kisiasa.
Mwandishi:Aboubakary Liongo
Mhariri:Othman Miraji