1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya habari za asubuhi 14.10.2017

Yusra Buwayhid
14 Oktoba 2017

Umoja wa Ulaya wapinga nia ya Rais wa Marekani Donald Trump ya kujitoa katika makubalaino ya kimataifa yanayoihusu Iran na mpango wake wa nyuklia. Waziri wa fedha wa Ujerumani atetea biashara katika mkutano wa IMF. Katibu mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa Kofi Annan asema wakimbizi wa Myanmar wa jamii ya Rohingya lazima warudi nyumbani.

https://p.dw.com/p/2loz1