1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tehran

Tehran ndiyo mji mkubwa kabisaa na mji mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Ukiwa na karibu wakaazi milioni 9, ndiyo mji wenye wakaazi wengi zaidi katika eneo la Asia Magharibi.