You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Michezo ya Olimpiki ya Paris 2024
Maandamano Kenya
Mzozo wa Israel na Hamas
Matangazo
Wasichana wa Chibok
Ruka sehemu inayofuata Habari
Habari
26.07.2024
26 Julai 2024
Jeshi la Nigeria lawaonya vijana juu ya maandamano ya vurugu
13.07.2024
13 Julai 2024
Watu 22 wafariki baada ya jengo la shule kuanguka Nigeria
Ruka sehemu inayofuata Ripoti na Uchambuzi
Ripoti na Uchambuzi
Jeshi la Nigeria laonya dhidi ya ghasia za mtindo wa Kenya
Jeshi la Nigeria laonya dhidi ya ghasia za mtindo wa Kenya
Mara ya mwisho jeshi la Nigeria lilipotumika kuzima maandamano ni Oktoba 2020 na ilisababisha umuagaji mkubwa wa damu.
Jeshi la Nigeria laonya juu ya maandamano ya vurugu
Jeshi la Nigeria laonya juu ya maandamano ya vurugu
Maafisa wa serikali, vikosi vya usalama na magavana nchini Nigeria wamewarai vijana kujiepusha na maandamano.
Uvaaji wa kofia za Kiyoruba na maana yake
Uvaaji wa kofia za Kiyoruba na maana yake
Kofia za Kiyoruba zina utambulisho mpana katika utamaduni wa kabila hilo la Nigeria, kuanzia uvaaji wake na ushonwaji wake. Femi Adekambe amebobea katika ushonaji wa kofia za kitamaduni akizipa nakshi za kipekee. #77asilimia
Mamilioni ya Wanigeria walala gizani kufuata mgomo wa taifa
Mamilioni ya Wanigeria walala gizani kufuata mgomo wa taifa
Wafanyikazi wamezima mitambo sita ya kusambaza umeme na kulitumbukiza taifa kwenye kiza usiku wa kuamkia leo.
Watoto kiasi 300 waliotekwa nyara Nigeria waachiliwa
Watoto kiasi 300 waliotekwa nyara Nigeria waachiliwa
Watoto takriban 300 walioachiliwa na watekaji wako salama
Nigeria yaagiza kufunguliwa kwa mpaka wake na Niger
Nigeria yaagiza kufunguliwa kwa mpaka wake na Niger
Mwezi uliopita ECOWAS iliamua kuuondoa vikwazo hivyo, ila mpaka huo ukawa bado umefungwa.
Onesha zaidi
Matangazo
Ruka sehemu inayofuata Yenye kuangaziwa
Yenye kuangaziwa
Je, Germany inapaswa kupanua ushirikiano kanda ya Sahel?
Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani Annalena Baerbock aliashiria mwaka jana umuhimu wa ukanda wa Sahel kwa nchi yake.
Madai ya ubakaji dhidi ya TB Joshua yawatikisa Wanjilisti
Mwinjilisti wa televisheni wa Nigeria marehemu TB Joshua anatuhumiwa kufanya unyanyasaji mkubwa wa kingono.
Uganda yapinga kuondolewa AGOA
Hii ina maana kuwa Uganda imepoteza soko la bidhaa zake mbalimbali ikiwemo zile za vitu vya sanaa, viungo na ngozi.
Je, Rais Bola Tinubu ndio suluhu ya matatizo ya Nigeria?
Wachambuzi wanatilia shaka ikiwa kiongozi huyo ni mtu sahihi wa kukabiliana na changamoto chungu nzima zinazomngojea.
Maudhui yote (909) kwenye mada hii