1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari Asubuhi 31.10.2017

Grace Kabogo
31 Oktoba 2017

Jaji wa mahakama ya Marekani ameamuru kuwekwa katika kifungo cha nyumbani waliokuwa wasaidizi wa kampeni wa Rais Donald Trump // Maandamano ya baada ya uchaguzi yameendelea jana nchini Kenya, baada ya Uhuru Kenyatta kutangazwa mshindi wa uchaguzi mpya wa urais uliofanyika Oktoba 26 // Umoja wa Mataifa umesema zaidi ya Wasyria milioni 13 wanahitaji msaada ili kuyaokoa maisha yao.

https://p.dw.com/p/2mmkN