You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Uchaguzi Mkuu wa Ujerumani 2025
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Uchaguzi Mkuu Kenya 2017
Ruka sehemu inayofuata Ripoti na Uchambuzi
Ripoti na Uchambuzi
Hali mjini Goma bado ni tete: UN
Hali mjini Goma bado ni tete: UN
Kundi la Congo River Alliance linalojumuisha M23, limesema wanajeshi wake wanaudhibiti mji huo wa mpakani na Rwanda
Waasi wanaoungwa mkono na Rwanda wadai kuuteka mji wa Goma
Waasi wanaoungwa mkono na Rwanda wadai kuuteka mji wa Goma
Waasi wa M23 katika siku za karibuni wamesonga mbele kwa kasi wakikabiliana na wanajeshi wa Kongo wanaoulinda mji huo.
Hatimaye Ruto aahidi kukomesha utekaji raia
Hatimaye Ruto aahidi kukomesha utekaji raia
Ruto ameahidi kukomesha matukio ya utekaji nyara kufuatia shinikizo la umma baada ya watu kadhaa kutoweka.
Mamlaka Kenya zakanusha kuwateka wakosoaji wa serikali
Mamlaka Kenya zakanusha kuwateka wakosoaji wa serikali
Haya yanajiri baada ya vijana 4 kutoweka siku chache zilizopita katika mazingira ya kutatanisha nchini Kenya.
Mpango tata wa kutoa chango kwa mifugo Kenya kuanza Januari
Mpango tata wa kutoa chango kwa mifugo Kenya kuanza Januari
Hata hivyo, mjadala kuhusu utekelezaji wa zoezi hilo umeibua hisia kali, huku baadhi wakipendekeza usitishwe.
Korti kuu Kenya yakataa kuzuia mjadala wa kumng'oa Gachagua
Korti kuu Kenya yakataa kuzuia mjadala wa kumng'oa Gachagua
Rigathi Gachagua anakabiliwa na mashtaka 11 yakiwemo rushwa, matumizi mabaya ya ofisi na kujilimbikizia mali.
Onesha zaidi
Maudhui yote (1106) kwenye mada hii
Matangazo