Sumatra: Tetemeko la ardhi Indonesia
18 Desemba 2006Matangazo
Tetemeko la ardhi limekipiga kisiwa cha Indonesia cha Sumatra leo asubuhi na kuwauwa watu 4. Zaidi ya wengine 100 wamejeruhiwa. Tetemeko hilo liliyapiga maeneo ya magharibi na kaskazini mwa kisiwa hicho likisababisha kuharibiwa nyumba na barabara. Sumatra kiko masharikii mwa eneo linalotajwa kuwa ni lenye kukabiliwa na hatari zaidi ya tetemeko la ardhi duniani