1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Simon Bin Itegi mshairi chipukizi wa Nakuru

Mohammed Khelef14 Januari 2016

Kwa watu wengi ambao Kiswahili si lugha yao ya kwanza wanaweza kuona kwamba kuifahamu lugha hii na kufikia kiwango cha kuwa mshairi ni jambo gumu sana, lakini hivyo sivyo ilivyo kwa mshairi chipukizi kutoka Nakuru, Simon Bin Itegi, aliyekutana na Mohammed Khelef jijini Nairobi.

https://p.dw.com/p/1Hcxw