Katibu mkuu wa chama kikuu cha upinzani cha CUF huko Tanzania, Maalim Seif Shariff Hamad, hivi sasa yuko mjini London, Uingereza, ambako huko mwishoni mwa wiki aliwahutubia Watanzania wanaoishi katika mji huo.
https://p.dw.com/p/M1hI
Matangazo
Seif Sharif Hamad anayaelezea madhumuni ya ziara yake
ya London muda mfupi baada ya maridhiano ya vyama vya
CCM na CUF huko Visiwani Zanzibar.