1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Jeshi la Uganda kwenda Somalia

22 Februari 2007

Aliyekuwa msemaji wa serikali ya Uganda katika mazungumzo ya kutafuta amani na waasi wa LRA mjini Juba Kapteni Paddy Ankunda ameteuliwa tena kuwa msemaji wa kikosi cha jeshi la uganda UPDS kitakachokwenda kulinda amani nchini Somalia.

https://p.dw.com/p/CHJU
Wanajeshi wa Uganda
Wanajeshi wa UgandaPicha: AP
Omar Mutasa ni mwandishi wetu wa Kampala alizungumza na kapteni Ankunda juu ya hilo na kwanza alimuuliza endapo kikosi cha jeshi la Uganda kiko tayari kulinda amani Somalia.