Kuna wengi ambao wanaamini kuwa kinachomfanya mtu kumchaguwa mwenzake kuwa mwenza wa maisha, mume au mke, ni kutokana na vigezo maalum alivyojiwekea. Lakini je, ni kweli kuna vigezo vya kabla au vigezo huja baadaye?
https://p.dw.com/p/RpHo
Matangazo
Hawra Shamte anazungumza na vijana juu ya kile wanachoamini kuwa kinawasukuma kufanya maamuzi ya kuoa au kuolewa na mtu fulani.