Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo yailaumu Rwanda kwa jeshi lake kuunga mkono wapiganaji wa CNDP wa Laurent Nkunda
9 Oktoba 2008Matangazo
Kwa upande wake serikali ya Kongo imeomba Baraza la Usalama la umoja wa mataifa liitahadharishe Rwanda kutokana na uvamizi wa ardhi yake na wanajeshi wa nchi hiyo.MONUC imetoa mwito wa usitishwaji mapigano kwenye mtaa wa Rutshuru.
Taarifa kamili na mwandishi wetu Saleh Mwanamilongo.