Kongamano la kimataifa la shirika la safari za Baharini (IMO) mjini Nairobi
16 Mei 2007Matangazo
Kongamano hilo linafanyika kwa mara ya kwanza barani Afrika na imewachukua washikadau wa sekta ya usafiri wa baharini takriban 30 kuratibu kielelezo cha mkataba huo.
Mwandishi wetu wa Nairobi, Alfred Kiti anaripoti.