Hali mbaya katika mjii mkuu wa Somalia,Mogadishu
5 Juni 2007Matangazo
Majeshi ya Ethiopia pia yamemuua mtu mmoja aliyekuwa na gari lililojaa milipuko ambaye alikuwa akitaka kujibamiza katika makao makuu ya jeshi hilo.
Aboubakary Liongo alizungumza na mwandishi wa habari wa mjini Mogadishu,Ibrahim Elmi, na kwanza alitaka kujua hali ikoje hivi sasa mjini humo.