Shughuli ya mazishi ya watu waliofariki dunia kutokana na ajali ya feri ya MV Nyerere nchini Tanzania imeanza leo, huku idadi ya vifo imeongezeka hadi watu 223.// Kiongozi wa chama cha upinzani, nchini Uingereza, angependa uchaguzi mkuu ufanyike badala ya duru ya pili ya kura ya maoni. // Serikali ya Ujerumani, imeshauriwa kuwa inapaswa kuelekeza nguvu zake kusuluhisha matatizo ya Umoja wa Ulaya