Waziri wa ushirikiano wa kiuchumi na misaada ya maendeleo wa Ujerumani ziarani Rwanda
8 Januari 2010Matangazo
Waziri Niebel na ujumbe wake mchana huu anatembela Hospitali kuu ya mjini Kigali kabla ya kukutana na Rais Paul Kagame, pamoja na wanadiplomasia na wawakilishi wa mashirika ya misaada ya Ujerumani nchini Rwanda.
Mwandishi wetu wa mjini Kigali Daniel Kaguba anaandamana na ujumbe na muda mfupi uliyopita na Lazaro Matalange amezungumza naye moja kwa moja kujua kile ambacho Waziri Niebel na ujumbe wake walichokifanya.
Mhariri: Aboubakary Liongo