1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Waziri Mjerumani-Mtanzania ajiuzulu wadhifa wake

8 Mei 2025

Mwanasiasa wa chama cha Christian Democratic Union, CDU, na mwenye asili ya Tanzania Joe Chialo, ambaye alikuwa waziri wa utamaduni na masuala ya kijamii wa jimbo la Berlin amejiuzulu wadhifa wake baada ya kutumikia kwa zaidi ya miaka mitatu. Hawa Bihoga amemuuliza sababu ya kijiuzulu?

https://p.dw.com/p/4u3tK
Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio