Umoja wa Mataifa hautoweza kusimamia uchaguzi Zanzibar
15 Mei 2009Matangazo
Tamko hilo limetolewa leo na Mkurugenzi wa Tume hiyo, Salim Kassim Ali, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari visiwani Zanzibar kuhusiana na matayarisho ya uchaguzi mdogo katika Jimbo la Magogoni unaotarajiwa kufanyika Mei 23 mwaka huu.
Mwandishi wetu mjini Zanzibar Salma Said ana ripoti zaidi.
Mwandishi: Salma Said
Mhariri: Josephat Charo