1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Robert Mueller

Robert Swan Mueller III ni wakili wa Kimarekani na afisa wa serikali aliehudumu kama mkurugenzi wa sita wa shirika la upelelezi la Marekani FBI kuanzia 2001 hadi 2013. Alikuwa mchunguzi maalumu wa wizara ya sheria.