Uchaguzi nchini Uganda
18 Februari 2011Matangazo
Maafisa wa usalama wako kila mahali kuhakikisha hakuna ghasia zozote zitakazozuka.
Mwandishi wetu mjini Kampala, Leylah Ndinda, amevitembelea baadhi ya vituo vya kupigia kura mjini humo na anatuelezea jinsi mambo yalivyo.
Mwandishi: Leylah Ndinda
Mpitiaji: Grace Patricia Kabogo
Mhariri: Miraji Othman