1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari Asubuhi 29.05.2021

29 Mei 2021

Shirika la Kudhibiti Madawa barani Ulaya, EMA limeidhinisha matumizi ya chanjo ya BioNTech-Pfizer kwa watoto wenye umri kuanzia miaka 12 hadi 15 // Mahakama ya Katiba ya Mali imemtangaza Kanali Assimi Goita kuwa rais wa mpito // Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron ameapa kusaidia juhudi za kutengeneza chanjo za virusi vya corona barani Afrika

https://p.dw.com/p/3u979