1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari Asubuhi 17.01.2017

Grace Kabogo
17 Januari 2017

Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel apuuzia ukosoaji uliotolewa na rais mteule wa Marekani, Donald Trump kuhusu sera yake ya wakimbizi//Mshukiwa wa shambulizi katika klabu ya usiku mjini Istanbul, Uturuki wakati wa sherehe za Mwaka Mpya amekamatwa//Jaji Mkuu wa Gambia amejitoa kusikiliza kesi iliyofunguliwa na Rais Yahya Jammeh ya kuzuia sherehe za kuapishwa rais mteule, Adama Barrow

https://p.dw.com/p/2VteK