Kura zinaendelea kuhesabiwa nchini Uganda baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika jana//Rais mteule wa Marekani, Joe Biden ameuzindua mpango wa uokozi wa dola trilioni 1.9 kwa ajili ya kuufufua uchumi wa nchi hiyo//Marekani imelikataa ombi la Umoja wa Mataifa la kubadili uamuzi wake wa kulitangaza kundi la waasi wa Houthi kuwa la kigaidi