Siku ya Ugonjwa wa Malaria duniani
25 Aprili 2008Matangazo
Juhudi mbalimbali zimekuwa zikifanywa ili kupunguza au kuutokomeza kabisa ugonjwa huo.
Scholastica Mazula amezungumza na Dokta Amour Abdallah Amour kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Nchini Tanzania juu ya maendeleo yaliyofikiwa na Tanzania katika kupiga vita ugonjwa huo.