Raia wa Msumbiji wanaoishi nchini Ujerumani wana shirika lao maalum, linaloshughulikia ustawi wa jamii yao, ndani ya Ujerumani na hata iliyoko Msumbiji, katika nyanja mbalimbali zikiwemo za wanawake na watoto.
https://p.dw.com/p/RVbe
Matangazo
Josephat Charo anazungumzia shughuli za Shirika la Raia wa Msumbiji wanaoishi Ujerumani, ambalo pamoja na mengine linajihusisha na uendelezaji wa mwanamke.