1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Karlsruhe

Karlsruhe ni mji wa kusin-Magharibi mwa Ujerumani inakokutikana mahakama ya juu kabisaa ya Ujerumani na wenye wakaazi takribani 300,000. Karlsruhe ndiyo mji wa pili kwa ukubwa katika jimbo la Baden Württemberg.