1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Nini kinafuata baada ya Iran kukaidi wito wa Trump?

7 Aprili 2026

Iran imekataa mpango wa kusitisha mapigano kwa muda wa siku 45 ikisema inataka makubaliano ya kumalizika kabisa kwa vita hivyo na imekaidi wito wa kuufungua Mlango-Bahari wa Hormuz. Abdul Fattah Musa, ni mchambuzi wa siasa za kimataifa.

https://p.dw.com/p/5BmRW