You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Michezo ya Olimpiki ya Paris 2024
Maandamano Kenya
Mzozo wa Israel na Hamas
Picha: DW
Bakari Ubena
Mhariri na mtangazaji wa Idhaa ya Kiswahili ya DW
Ruka sehemu inayofuata Taarifa zilizoonesha na Bakari Ubena
Taarifa zilizoonesha na Bakari Ubena
UN:Juhudi za kutokomeza Ukimwi ifikapo mwaka 2030 zinasuasua
Licha ya kushuhudia matokeo chanya katika kupambana na UKIMWI, UNAIDS imeonya kuwa maendeleo jumla bado si ya kuridhisha
Kundi la IS huenda linajiunda upya
Kundi la kigaidi la IS limedai kuhusika kwenye mashambulizi 153 huko Syria na Iraq, miezi sita ya kwanza ya 2024.
Je, mkutano wa kilele wa Ukraine umefikia malengo yake?
Rais wa Uswisi: Mkutano huo ulilenga kuanzisha mchakato wa muda mrefu wa amani ambao utaijumuisha pia Urusi.
Ruka sehemu inayofuata Taarifa na Bakari Ubena
Taarifa na Bakari Ubena
Iran yakosoa vikali ziara ya Netanyahu nchini Marekani
Iran yakosoa vikali ziara ya Netanyahu nchini Marekani
Iran: Marekani haikupaswa kumpokea Netanyahu wakati vita vya kikatili vinaendelea Gaza kwa zaidi ya miezi tisa.
Vita vyaendelea Gaza, mchakato wa mazungumzo wakwama
Vita vyaendelea Gaza, mchakato wa mazungumzo wakwama
Wizara ya afya huko Gaza imesema kuwa zaidi ya Wapalestina 39,100 wameuawa.
Ugiriki yaadhimisha miaka 50 ya demokrasia
Ugiriki yaadhimisha miaka 50 ya demokrasia
Makovu ya vita vya wenyewe kwa wenyewe vya mwaka 1944 hadi 1949 yameanza kupona, huku mfumo wa bunge ukifanya kazi.
Mwangaza wa Ulaya: Belarus:Miaka 30 ya utawala wa Lukashenko
Mwangaza wa Ulaya: Belarus:Miaka 30 ya utawala wa Lukashenko
Katika siasa za ulaya kwa miongo kadhaa, tumeshuhudia viongozi wa mataifa mbalimbali wakipishana madarakani. Lakini Alexander Lukashenko amekuwa rais wa Belarus kwa miaka 30. Kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 69, ameitawala nchi hiyo kwa mkono wa chuma na kuwa na udhibiti kamili. Kipi kimemuwezesha kusalia madarakani kwa muda wote huo? Ni mbinu gani anazozitumia ili kutoyumbishwa?
Netanyahu aanza ziara nchini Marekani
Netanyahu aanza ziara nchini Marekani
Ziara ya Netanyahu nchini Marekani inajiri wakati vita vinaendelea kupamba moto Gaza na vinaashiria kutanuka zaidi.
Changamoto zinazoukabili muhula mpya wa Kagame
Changamoto zinazoukabili muhula mpya wa Kagame
Miongoni mwa changamoto hizo ni kudumisha utulivu, kurekebisha mahusiano na jirani yake DRC na kumteua mrithi wake.
Onesha taarifa zaidi
Nenda ukurasa wa mwanzo