Mkuu wa IMF azuilwa na polisi
15 Mei 2011Matangazo
Hapo awali, polisi ilimtoa Strauss-Kahn kutoka ndege aliyokuwa amepanda kuelekea Paris, Ufaransa, akiwa kwenye uwanja wa ndege wa John. F. Kennedy, jijini New York.
Strauss-Kahn, ambaye ni mzaliwa wa Ufaransa, anaonekana kama miongoni mwa wagombea wa urais wa Ufaransa katika uchaguzi wa mwakani.