Mifuko ya plastiki yazichafua fukwe za Afrika ya Mashariki
14 Julai 2011Matangazo
Thelma Mwadzaya anazungumzia hatari ambayo mazingira na maisha ya mwanaadamu yanahatarishwa kupitia uchafu wa mifuko ya plastiki kwenye fukwe za pwani ya Afrika ya Mashariki.
Mtayarishaji: Thelma Mwadzaya
Mhariri: Othman Miraji