Ghasia zaendelea nchini Ugiriki baada ya kuuwawa kijana wa miaka 15
9 Desemba 2008Matangazo
Hakuna anayefahamu kwa dhati nini sababu ya hasira hizi za hasa vijana nchini Ugiriki ambazo zimeambatana na kuharibu mali za watu.
Sekione Kitojo alizungumza na mkaazi mmoja wa mjini Athens, Kayu Ligopora ambaye kwanza anatufahamisha hali ilivyo hadi sasa.