1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Baraza la Makanisa NCCK nchini Kenya washinikiza uchaguzi mpya

19 Machi 2009

Viongozi wa makanisa nchini Kenya washinikiza uchaguzi mpya ufanywe ili kumchagua kiongozi atakayewajibika kwa wananchi.

https://p.dw.com/p/HFZY

Shinikizo hizo zimetolewa na Baraza la Makanisa nchini Kenya, NCCK.

Kutoka Nairobi Mwandishi wetu, Alfred Kiti, ametuandalia ripoti ifuatayo.