Baraza la Makanisa NCCK nchini Kenya washinikiza uchaguzi mpya19.03.200919 Machi 2009Viongozi wa makanisa nchini Kenya washinikiza uchaguzi mpya ufanywe ili kumchagua kiongozi atakayewajibika kwa wananchi.https://p.dw.com/p/HFZYMatangazoShinikizo hizo zimetolewa na Baraza la Makanisa nchini Kenya, NCCK. Kutoka Nairobi Mwandishi wetu, Alfred Kiti, ametuandalia ripoti ifuatayo.