Aliyekuwa waziri wa elimu ya juu nchini Kenya awasili Uholanzi
4 Novemba 2010Matangazo
Bwana Rutto aliondoka jana mjini Nairobi akiwa ameandamana na mbunge wa Belgut, Charles Keter. Mawakili wake walimtangulia, kuandaa mazungumzo ya kina na muhimu na Ocampo. Mwandishi wetu Alfred Kiti na ripoti kamili kutoka Nairobi.
Mwandishi: Alfred Kiti
Mhariri: Josephat Charo