Iran yarusha makombora ya kwanza Israel kufuatia uteuzi wa kiongozi mkuu mpya Ayatollah Seyyed. Wapiganaji wa kundi la Hezbollah wanasema wanapambana na vikosi vya Israel mashariki mwa Lebanon. Na maalfu ya raia Sudan Kusini waukimbia mji wa Akobo unaoshikiliwa na upinzani mashariki mwa nchi.