1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Migogoro

09.03.2026 Taarifa ya Habari ya Asubuhi

Josephat Charo
9 Machi 2026

Iran yarusha makombora ya kwanza Israel kufuatia uteuzi wa kiongozi mkuu mpya Ayatollah Seyyed. Wapiganaji wa kundi la Hezbollah wanasema wanapambana na vikosi vya Israel mashariki mwa Lebanon. Na maalfu ya raia Sudan Kusini waukimbia mji wa Akobo unaoshikiliwa na upinzani mashariki mwa nchi.

https://p.dw.com/p/5A1hl
Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Symbolbild Weltwirtschaft Global Economy Globalisierung
Picha: Kheng Ho Toh/PantherMedia/imago images

Asubuhi: Taarifa ya Habari, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Pata Taarifa ya Habari ya Asubuhi, saa 12:00 (Afrika Mashariki)