Wajumbe wa Maziwa Makuu wakutana mjini Nairobi kujadili swala la janga la maradhi ya Ukimwi
24 Julai 2008Matangazo
Wajumbe kutoka nchi za eneo hilo wanakutana jijini Nairobi nchini Kenya katika kikao cha sita cha mpango wa kukabiliana na maradhi hayo unaojulikana kama Glia.
Mwandishi wetu wa Nairobi Alfred Kiti anatuarifu zaidi.