1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari za Asubuhi: 18.10.2022

18 Oktoba 2022

Ndege ya kivita ya Urusi yaanguka eneo la makazi na kuua watu 6. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa aonya kuwa vita nchini Ethiopia vyaelekea kutodhibitiwa. Zaidi ya Mashirika 40 ya kutetea haki za binaadamu yalaani ukandamizaji wa Iran dhidi ya waandamanaji

https://p.dw.com/p/4IJ3r