Mvutano wa kisiasa bungeni nchini Kenya
28 Aprili 2009Matangazo
Spika wa Bunge Bwana Keneth Marende ametoa uamuzi kwamba yeye binafsi ndiye atakayeshikilia wadhifa wa mwenyekiti wa kamati hiyo hadi Rais Mwai Kibaki na Waziri Mkuu Raila Odinga wanaoongoza serikali ya muungano watakaposhauriana na kwa kauli moja kumteua kiongozi rasmi wa shughuli za serikali bungeni.
Kwa maelezo zaidi ya taarifa hii mwandishi wetu Alfred Kiti kutoka Nairobi anatuarifu....
Mwandishi: Alfred Kiti
Mhariri: Mohamed Abdulrahman