Mahakama Kuu ya Tanzania Masijala Ndogo ya Dar es Salaam yatupilia mbali mapingamizi ya mwenyekiti wa chama cha upinzani CHADEMA Tundu Lissu kuhusu kesi ya uhaini inayomkabili +++ Rwanda yasema makubaliano ya Doha na Washington yanayolenga kuutatua mzozo wa mshariki mwa Kongo huenda yasifanikiwe+++Raia wa Malawi wamepiga kura katika uchaguzi uliotawaliwa na ushindani mkali.