1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Makala ya Afrika wiki hii

19 Septemba 2025

Mahakama Kuu ya Tanzania Masijala Ndogo ya Dar es Salaam yatupilia mbali mapingamizi ya mwenyekiti wa chama cha upinzani CHADEMA Tundu Lissu kuhusu kesi ya uhaini inayomkabili +++ Rwanda yasema makubaliano ya Doha na Washington yanayolenga kuutatua mzozo wa mshariki mwa Kongo huenda yasifanikiwe+++Raia wa Malawi wamepiga kura katika uchaguzi uliotawaliwa na ushindani mkali.

https://p.dw.com/p/50mvE