You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Iran
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Picha: Zoonar/picture alliance
Makala zetu
Sikiliza makala kemkem tulizokuandalia
Ruka sehemu inayofuata Ripoti na Uchambuzi
Ripoti na Uchambuzi
Afrika wiki hii
Afrika wiki hii
Baraza kuu la UN lapitisha azimio la kutambuwa utumwa kama uhalifu mbaya zaidi uliofanywa dhidi ya waafrika. Tanzania, aliyekuwa waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu sera bunge na wenye ulemavu William Lukuvi amefariki dunia. Na Kenya yagunduwa kaburi la pamoja lililozikwa miili ya watu 33. Jiunge na Saumu Mwasimba katika makala ya Afrika wiki hii
Mtu mmoja auwawa katika maandamano ya nchini Kenya
Mtu mmoja auwawa katika maandamano ya nchini Kenya
Kenya yatikiswa na maandamano makubwa katika mji mkuu Nairobi na miji mingine ya kupinga muswaada wa fedha. Mahujaji 658 wa Misri ni miongoni mwa waumini waliopoteza maisha kufuatia joto kali huko Makkah. Wabunge nchini Kongo wakubali kupunguziwa mishahara yao ya dola elfu 21 hadi dola elfu 5 katika tukio la aina yake. Jiunge na Saumu Mwasimba katika Afrika wiki hii hapa DW kiswahili.
Makala ya Afrika Wiki HII
Makala ya Afrika Wiki HII
Afrika Wiki hii ina mengi ikiwemo athari ya vikwazo vya Marekani kwa jeshi la Rwanda. Mtayarishaji ni Amina Abubakar
Afrika Wiki Hii
Afrika Wiki Hii
Miongoni mwa yaliyotikisa Afrika ni pamoja na kauli ya Rais Paul Kagame ya kutaka Wanyaranwa kujitegemea zaidi.
Makanisa yanavyofungwa Ujerumani kwa kukosa waumini
Makanisa yanavyofungwa Ujerumani kwa kukosa waumini
Makanisa mengi ya Ujerumani yanaendelea kufungwa kwa kasi tofauti na miaka ya nyuma. Sababu kubwa za kufungwa kwa nyumba hizo za ibada ni zinatokana na uhaba wa waumini na gharama kubwa zilizoshindikana za kuzitunza. Ungana na Angela Mdungu katika makala ya Sura ya Ujerumani kufahamu zaidi.
Makala: Afrika Wiki Hii
Makala: Afrika Wiki Hii
Afrika Wiki hii: Rais Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko madogo katika baraza lake la mawaziri +++Huko Goma yamefanyika maziko ya miili ya watu 22 waliofariki katika mashambulizi ya droni+++Amnesty International lavishutumu vyombo vya usalama vya Uganda kwa kuendeleza ukandamizaji dhidi ya upinzani.
Onesha zaidi
Matangazo
Ruka sehemu inayofuata Yenye kuangaziwa
Yenye kuangaziwa
Athari za mafuriko nchini Tanzania
Makala Yetu leo inaangalia athari zilizotokana na mvua kubwa zilizonyesha na kusababisha mafuriko makubwa Tanzania.
Miaka 13 tangu kutokea ajali ya Fukushima
Ajali ya Fukushima inazingatiwa kuwa janga la pili la nyuklia katika historia ikilinganishwa na janga la Chernobyl.
Maudhui yote (331) kwenye mada hii