1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kumbukumbu ya Mfalme wa Wachagga Mangi Meli alieuawa na Wajerumani

Harrison Mwilima27 Machi 2020

Makala ya Sura ya Ujerumani leo hii inakupeleka mjini Moshi nchini Tanzania, ambapo sherehe za kumkumbuka kiongozi wa wachagga, Mangi Meli, aliyeuliwa kwa kunyongwa na kisha kukatwa kichwa na wajerumani katika kipindi cha ukoloni, zilifanyika.

https://p.dw.com/p/3a8Gp