Kongamano kuhusu mswada wa kufanyiwa marekebisho ya baadhi ya Sheria nchini Tanzania
20 Januari 2010Matangazo
Leo hii kumefanyika kongamano la kujadili mswada wa kutaka kufanyiwa marekebisho baadhi ya sheria ili kuufanya uchaguzi huo uwe huru zaidi na wa haki.
Mwandishi wetu wa jijini Dar es Salaam George Njogopa aliudhuria kongamano, na ametuandalia taarifa ifuatayo.
Mwandishi:George Njogopa
Mhariri:Aboubakary Liongo