Katika mfululizo wetu kuhusu historia ya Ujerumani Afrika Mashariki,leo tunautupia macho mkoa wa Dar es Salaam kuangazia urithi waliouacha wakoloni wa Kijerumani, miaka 100 tangu waliposhindwa katika Vita ya Kwanza ya Dunia na kunyang'anywa makoloni yao yote. Ripota wetu Yakub Talib aliandaa vidio hii.